-->

Tuesday, 21 December 2021

Elimu Ya Hadiyth: Maana Ya Idadi Fulani Ya Imaam Wa Hadiyth

 Inaposemwa Hadiyth (fulani) imesimuliwa na As-Sab’ah (watu saba), basi ina maana wanaokusudiwa hapo ni:

 

1- Al-Bukhaariy

2- Muslim

3- At-Tirmidhiy

4- An-Nasaaiy

5- Abuu Daawuwd

6- Ibn Maajah

7- Ahmad

 

 

 

 

Inaposemwa Hadiyth (fulani) imesimuliwa na As-Sittah (watu sita), basi ina maana wanaokusudiwa hapo ni:

 

 

1-Al-Bukhaariy

2-Muslim

3-At-Tirmidhiy

4-An-Nasaaiy

5-Abuu Daawuwd

6- Ibn Maajah

 

 

 

Inaposemwa Hadiyth (fulani) imesimuliwa na Al-Khamsah (watu watano) basi ina maana wanaokusudiwa hapo ni:

 

1- At-Tirmidhiy

2- An-Nasaaiy

3-Abuu Daawuwd

4- Ibn Maajah

5- Ahmad

 

 

 

Inaposemwa Hadiyth (fulani) imesimuliwa na Al-Arba’ah (watu wanne), basi ina maana wanaokusudiwa hapo ni:

 

1- At-Tirmidhiy

2- An-Nasaaiy

3- Abuu Daawuwd

4- Ibn Maajah

 

 

 

 

Inaposemwa Hadiyth (fulani) imesimuliwa na Ath-Thalaathah (watu watatu), basi ina maana wanaokusudiwa hapo ni:

 

1- At-Tirmidhiy

2- An-Nasaaiy

3-Abuu Daawuwd

 

 

 

Inaposemwa Hadiyth (fulani) imesimuliwa na Ash-Shaykhaan (Mashaykh wawili) au Asw-Swahiyhayn (Swahiyh Mbili) au Muttafaqun 'alayhi (Wameafikiana juu yake), basi wanaokusudiwa hapo ni:

 

1- Al-Bukhaariy

2- Muslim

Tags :

bm

Abu Ghufairah

Seo Construction

I like to make cool and creative designs. My design stash is always full of refreshing ideas. Feel free to take a look around my Vcard.

  • Abu Ghufairah
  • Februari 24, 1989
  • 1220 Manado Trans Sulawesi
  • contact@example.com
  • +123 456 789 111

Post a Comment